AELEZA ALIVYO NUSURIKA KUUAWA NA WAFUGAJI KITETO

MKAZI mmoja wa kijiji cha chekanao kiteto amejikuta ktk wakati mgumu kumwaga machozi mbele ya mbunge moze abedi viti maalum cuf akieleza jinsi alivyo nusurika kuuawa na wafugaji wamasai akiwa shambani kwake picha na mohamed hamad kiteto many

Maoni