wataano wafariki dunia mgogoro wa ardhi kiteto

watu watano wamefatiki dunia wilayani kiteto manyara kutokana na kuibuka mgogoro upya wa ardhi kati ya wakulima na wafugaji

tukio hlo limetokea kata ya matui kiteto ambapo kati ya hao wawaliofariki yupo mwanamke wa jamii ya kifugaji mmasai

taarifa zauhakika zinasema hali ni tete matui baada ya wafugaji hao wa kimasai kudaiwa kumiki silaha kali za moto bunduki

jumla ya maboma 8 ymedaiwa kuchomwa moto huku ngombe nyingixikidaiwa kuporwa

Maoni