Lowassa akiwa Kiteto

Chopa ya CHADEMA mara baada ya kitua Kiteto
Mgombea Urais Edward Lowassa anayeungwa mkono na vyama vinne akilakiwa Wilayani Kiteto Manyara
Sehemu ya wananchi wa Kibaya wakiwa kwenye mkutano kumsikiliza Mgombea Urai Edward Lowassa mjini Kibaya
Mgombea Urai kupitia UKawa Edward Lowassa akimnadi clasemate wake Ramadhani Mwamba mgombea udiwani kata ya Kibaya
Wagombea Ubunge Jimbo la Kiteto wakijaribu kumwelewesha Edward Lowassa kuhusu utata wa nani anadiwe kati ya mgombea wa CHADEMA au CUF

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX


AHSANTE KWA KUENDELEA KUPATA HUDUMA ZETU PIA KUJITANGAZA NASI IWAPO UNAHABARI AMA TANGAZO WASILIANA NASI 0758 222 248/0787 055 080
Email . masarade1995@gmail.com ,
ANGALIZO KUMBUKA KILA MMOJA ANA MTAZAMO WAKE HIVYO TUMIA LUGHA NZURI KATIKA KUTOA MAONI YAKO IWAPO UTASHINDWA BASI NI HERI USITOE MAONI SI LAZIMA ILI KUEPUSHA MAKWAZO KWA MWINGINE

Maoni