HONGERA SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MAKAMU WA RAIS TANZANIA
Pata kiungo
Facebook
Twitter
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Mh. Samia
Suluhu Hassan ameapishwa rasmi kuwa makamu wa urais wa jamhuri ya
muungano wa Tanzania pamoja na kusaini kiapo chake leo Tar. 05/11/2015
saa nne na dakika hamsini na nne.
Maoni
Chapisha Maoni