Mazingaombwe matokeo la saba

Hi! watanzania wa miaka 54 ya Uhuru.Juzi BARAZA la mitihani lilitangaza matokeo ya Drs la VII tena kwa Mbwembwe sn, na kutanabaish kuw ufaul umeongezek. Bnafs baad ya kuptia baadh ya matokeo hayo nilikutana na vitu ambavyo bnafc nilihic km ni Mazingaombwe!zingaombwe la kwanza; ni pale nilipokutana na utata huu,Mwanafunzi"X" matokeo yake yalisomeka hv...HISB-C,KISW-C,ENG-C,MAARIF-D,SIENC-D.GRADE=C. Mwanafnz mwngn "Y" Nae alipata HISB-C,KISW-C,ENG-C,MAARIF-D,SIENC-D.GRADE=D,Sasa nkajiuliz, kuna tofaut gan kat ya mwanfnz X na Y Wakat wamepat saw,lakn mmoj kaandikiwa GRADE-D, Afu mwingine GRADE-D?Zingaombwe la pili ambalo ckulielew na had sas nimeshindwa kumjibu BIBI yangu wa Kaburabura huko Musoma vijijin ambae anatak nimsaidie wanavyogawanya na kupata wastan wa madaraja, mfano hao wajukuu wake hapo juu, Kila ck anapga cm najifany cpokei kwa ubze anatak nimfafanulie,Ebu watanzania wenzang naomb mweny majb na uelew dhidi ya Sintofaham hapo juu anisaidie.......Last edited by OMTIMBA; Today at 17:55

 

CHANZO JAMIIFORUMS

Maoni