Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Rais John Magufuli afanya Ziara ya ghafla kwenye Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI)


Rais wa Tanzania Dk.John Maguli amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya taifa muhimbili kujionea hali ya utoaji huduma kwa wagonjwa.

Awali Rais Magufuli alifika katika Hospitali ya Agha Khan kumjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Bi Hellen Kijo Bisimba anayepatiwa matibabu na vipimo katika hospitali hiyo baada ya jana kupata ajali katika makutano ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam.

Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name: 111.JPG 
Views: 11109 
Size: 80.4 KB 
ID: 304829   Click image for larger version. 

Name: 222.JPG 
Views: 11425 
Size: 125.8 KB 
ID: 304830   Click image for larger version. 

Name: 333.JPG 
Views: 11428 
Size: 69.9 KB 
ID: 304831   Click image for larger version. 

Name: IMG-20151109-WA0028.jpg 
Views: 11080 
Size: 119.0 KB 
ID: 304832   Click image for larger version. 

Name: IMG-20151109-WA0026.jpg 
Views: 10982 
Size: 146.6 KB 
ID: 304833  

Maoni