Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Yaliyojiri mkutano wa CHADEMA viwanja vya Ngarenaro Arusha



Mkutano huu utahutubiwa na viongozi wakuu wa UKAWA pamoja na Mh Lowasa,ni mkutano wa kihistotria ambao Viongozi wetu watazungumza na Watanzania kupitia Arusha.

Maandalizi yamekamilika.

mkutano unaanza kwa viongozi wa dini kusali,na kubariki viwanja hivi,CHADEMA tunaanza na Mwenyenzi Mungu

Mwenyekiti wa wilaya anaanza kwa kufungua rasmi mkutano
Anawashukuru wanaarusha kwa ushindi mkubwa wa kata 24 kati ya 25.

Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name: 1.jpg 
Views: 871 
Size: 141.0 KB 
ID: 305736   Click image for larger version. 

Name: 2.jpg 
Views: 848 
Size: 116.4 KB 
ID: 305737   Click image for larger version. 

Name: 3.jpg 
Views: 825 
Size: 128.5 KB 
ID: 305738   Click image for larger version. 

Name: 4.jpg 
Views: 823 
Size: 130.7 KB 
ID: 305739   Click image for larger version. 

Name: 5.jpg 
Views: 903 
Size: 95.8 KB 
ID: 305740   Click image for larger version. 

Name: IMG-20151114-WA0097.jpg 
Views: 2977 
Size: 379.2 KB 
ID: 305742   Click image for larger version. 

Name: IMG-20151114-WA0091.jpg 
Views: 2231 
Size: 313.8 KB 
ID: 305743   Click image for larger version. 

Name: IMG-20151114-WA0082.jpg 
Views: 2203 
Size: 310.2 KB 
ID: 305744  

Maoni