Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Kubenea apandishwa Mahakamani leo


 

MB.wa Ubungo Sued Kubenea

                                       DC. Paulo Makonda

Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea anafikishwa mahakamani Kisutu muda huu.

Huku ni kuiongezea mahakama mrundikano wa kesi zisizo na kichwa wala miguu.

Kwa mtindo huu lazima Makonda ajitafakari mara mbili mbili

=============

UPDATES;

Mbunge wa jimbo Ubungo kupitia Chadema, Saed Kubenea amepandishwa kizimbani kortini Kisutu, jijini Dar es Salaam leo na kusomewa shtaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.Hata hivyo, Kubenea amekana kufanya kitendo hicho na kesi yake kuahirishwa hadi Desema 29, mwaka huu.

Aachiwa kwa dhamana.

Chanzo JamiiForums

Maoni