CCM Babati wakagua miradi..

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Babati Abdilahi Mdoe, akiongoza wajumbe wa kamati ya Siasa kukagua miradi ya maendeleo

Kata zilizofikiwa ni Magara, Kisangaji, Mwada, Magugu na Nkait ktk Halmashauri ya Wilaya ya Babati

Pia  wametembelea miradi ya Afya, Elimu na kushauri wananchi kuchangia shughuli za maendeleo ili miradi hiyo iweze kukamilika na kutumika.

Maoni