OLENGAPA YAVUTA WAGENI KUJIFUNZA KITETO

Mkuu wa Walaya ya Kiteto, MKOANI Manyara Eng.Tumain Magessa, ameupokea ugeni toka ndani na nje ya Nchi kujifunza nyanda za malisho zilizoanzishwa Kiteto.

Nyanda hizo zinaitwa OLENGAPA zimeanzishwa mwaka 2013 na vijiji 4 ambavyo ni Ngapapa, Lerug, Orkitikiti na Engongoengare.

Lengo la

Maoni