CCM Kiteto yaibuka Kidedea :JIMBONI:


 Msimamizi wa Uchaguzi Bosco Ndunguru akimpongeza Emmanuel Papian muda mfupi baada ya kutangazwa msindi katika Jimbo la Kiteto Picha na Mohamed Hamad





Wafuasi wa CCM kiteto muda mfupi baada ya kutangaziwa matokeo 
 
MJUME wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Emmanuel Papiani ametangazwa kuwa MBUNGE wa Jimbo la Kiteto, baada ya kuwashinda wapinzani wake watano waliokuwa kwenye kinyanganyiro HICHO

Bosco ndunguru ni msimamizi wa UCHAGUZI wa JIMBO LA Kiteto katika matokeo hayo msimamizi wa UCHAGUZI anavitaja vyama vya siasa vilivyoshiriki katika UCHAGUZI mwaka huu kuwa ni CCM,CHADEMA, SAU, ACT WAZALENDO, NCCR MAGEUZI,NA CUF

Idadi ya waliojindikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura 110,217,waliopiga kura 75195,kura halali 73152 zilizoharibika 2043

Hata hivyo matokeo hayo hayakuweza kuridhiwa na Kidawa Othmani Iyavu mgombea wa chadema akisema kuwa ataenda mahakamani kuyapinga

Wengine waliridhika akiwemo wakala wa CUF, NA mgombea wa ACT,huku mashaka saidi fundi wa SAU na Kilani Kimwaka wakisusa kutofika kwenye chumba cha kujumlisha matokeo

Maoni