Matokeo ya Ubunge :MWAMOTO NDIO MBUNGE KILOLO


Wananchi wa Lulanzi wakimpongeza Venance Mwamoto katikati baada ya kushinda Ubunge jimbo la Kilolo
Wana ccm wakiwa na jeneza la Chadema
..............................,,,,,,,,,,,,
Matokeo ya Ubunge kilolo Venance  Mwamoto ( ccm ) ashinda kwa kura 45225 sawa na asilimia  57.16 , Bryson Kikoti ( Chadema ) 32926 sawa na asilimia 41.61,mwaka Mgimwa ( chausta ) 236 asilimia 0.30,Omary Mtuga ( ACT)739 sawa na asilimia 0.93 Jumla ya wapiga kura 110,458 walijiandikisha waliopiga 79128 asilimia 100.00


Maoni