Ruka hadi kwenye maudhui makuu
Kombe la Polisi jamii Kiteto lamalizika...




Kombe la Polisi jamii Kiteto limekamilika ambapo timu ya REGGE BOYZ iliibuka mshindi dhidi ya Matui Sot Club kwa bao 2-1
Awali timu 12 zilishiriki matika mashindano hayo ambapo mshindi wa
kwanza aliambulia kikombe,jezi,na mpira huku mshindi wa pili akiambulia
jezi pea mbili na watatu mipira miwili
Kombe hili lilianzishwa na Polisi Kiteto CHINI ya OCD Katabazi mpenda
michezo Kiteto akilenga kujenga mauhisno mema kati ya Polisi na Raia
anasema bado ana Njozi zaidi za kuendeleza michezo Kiteto...
Maoni
Chapisha Maoni