Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Mapendekezo ya Baraza la Mawaziri

MAONI TUU... CHANZO JAMIIFORUMS
Natambua JPM ana kazi kubwa ya kuteua baraza la mawaziri. Katika kuchangia juu ya suala hilo, kama mwananchi wa kawaida napendekeza aangalie mawazo haya pia:

1. Harrison Mwakyembe, Waziri Mkuu
2. Asha Rose Migiro, Mambo ya Nje
3. January Makamba, Afrika Mashariki
4. Sospter Muhongo, Maji, Nishati na Madini
5. William Lukuvi, Ardhi, Maliasili na Mazingira
6. Adadi Rajabu, Mambo ya Ndani
7. Kabudi Palamagamba, Katiba na Sheria (mbunge wa kuteuliwa)
8. Mwigulu Nchemba, Fedha na Uchumi
9. Luhiga Mpina, Viwanda, Biashara na Utalii
10. Stephen Wassira, Ofisi ya Rais Kazi Maalum (mbunge wa kuteuliwa)
11. Diodurus Kamala, Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi
12. Aggrey Mwanri, TAMISEMI (mbunge wa kuteuliwa)
13. Mwele Malecela, Afya (mbunge wa kuteuliwa)
14. Assumpter Mshama, Maendeleo ya Jamii
15. Mohamed Seif Khatibu , Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano
16. Jumanne Maghembe, Kilimo na Misitu (inajumuisha Uvuvi na Mifugo)
17. Makame Mbarawa, Habari na Mawasiliano
18. Ramo Makani, Miundombinu na Uchukuzi
19. Sifuni Mchome, Elimu, Sayansi na Teknolojia
20. Charles Makakala, Ulinzi na JKT (mbunge wa kuteuliwa)
21. Juma Nkamia, Habari, Utamaduni na Vijana
22. Jennister Mhagama, Uratibu wa Bunge
23. Lazaro Nyalandu, Ofisi ya Rais Uwekezaji na Mahusiano

24. Angela Kairuki, Naibu Ardhi, Maliasili na Mazingira
25. Kangi Lugora, Naibu TAMISEMI
26. Ummy Mwalimu, Naibu Habari, Utamaduni na Vijana
27. Janet Mbene, Naibu Viwanda, Biashara na Utalii
28. Charles Mwijage, Naibu Maji, Nishati na Madini


Haka ni ka-baraza kadogo, kalikozingatia mabadiliko ya wizara, na si kila wizara iwe na naibu. Awape hao kwanza changamoto kisha ataangalia wapi pa kurekebisha mbele ya safari kulingana na utendaji na changamoto. Kwa sasa asijali sana suala la ukabila, aangalie "kazi tu".

Maoni