Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Rais Dk. Magufuli afanya ziara ya kushtukiza wizara ya Fedha

Atembea kwa miguu kutoka Ikulu, avamia Wizara ya fedha, Wafanyakazi washangaa. Akagua ofisi chumba kwa chumba.

Siku ya Kwanza baada ya kuapishwa, Rais Dk. Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza wizarani na kukagua ofisi kwa ofisi, kakuta Maofisa wengi wa Serikali hawapo kazini.



Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name: mag.jpg 
Views: 10609 
Size: 78.1 KB 
ID: 304270   Click image for larger version. 

Name: mag2.png 
Views: 9800 
Size: 374.0 KB 
ID: 304272  chanzo jamiiForums

Maoni