DC Same akamata dawa za kulevya kwenye badi

DC Same akikagua viroba viwili vya mirungi, vilivyopatikana kwenye basi lililokuwa likitoka Rombo kuelekea Dar es salaam.

Ambapo polisi Same walifanikiwa kumshika msafirishaji  wa mirungi hiyo na kumtia hatiani.

Mirungi hiyo ilichanganywa na ndizi kama vile ni ndizi  zinasafirishwa.

Tukio hilo lilitokea Tar. 20/03/2018

Maoni