Namaingo na mkakati ya kuwainua wananchi kiuchumi

Bi.Biubwa Ibrahimu, ni mkurugenzi wa kampuni ya Namaingo amekuwa wa kuigwa kwa  kuimarisha watu kiuchumi.

Akiwa na kampuni yake ya Namaingo, amewezesha vikundi mbalimbali kiuchumi kwa kuwapa elimu pamoja na mbinu mbalimbali za kujinasua na Umaskini

Hatua hii imeelezewa kuwa njema hasa katika kipindi hiki kuunga mkono jitihada za Rais Dr. John Pombw Magufuli ya hapa kazi tu

Vikundi hivyo vimekuwa vikijishughulisha katika nyanja mbalimbali za Kilimo cha kibiashara

Wanalima matunda mipapai, mbogamboga,nyanya, ufugaji wa kuku, ng'ombe, na hata sungura

Ikiwa ni njia bora ya kuwafanya Watanzania kufanya kazi, tena zenye tija katika kipindi hiki ambacho Serikali imewataka wananchi kufanya kazi

Kwa sasa anasisitiza kupitia muamvuli  wa namaingo kuwa umaskini hauna nafasi.

Maoni